Dr Cow
Lifestyle
1 year ago
Dar, Sinza
444
ZIJUE FAIDA ZA DR.COW SMART GUMMIES, NA VILIVYOMO NDANI YAKE
-DR.COW ni kirutubisho lishe kwa ajili ya watoto ni ya asili wala haina kiambata chochote cha kemikali, ni salama kabisa kwa ukuaji na afya ya watoto.
IMETENGENEZWA KWA:
1️⃣na Mafuta ya samaki ina
-protini na vitamins ikiwemo vitamin B-12.
-calcium na madini mengine.
2️⃣Calcium carbonate.
KAZI YA DR.COW...
1️⃣Inamlinda mtoto dhidi ya magonjwa ya moyo(cream milk).
2️⃣Huimarisha ukuaji wa afya bora kwa mtoto(cream milk-protein).
3️⃣Inaongeza hamu ya kula kwa wale watoto wasiopenda kula(cream milk-vitamin B-12).
4️⃣Huimarisha uundwaji wa meno na mifupa imara kwa watoto(calcium).
5️⃣Huongeza nguvu mwilini mwa mtoto(calcium)
6️⃣Huimarisha misuli ya mwili kwa mtoto(calcium).
7️⃣Huimarisha mishipa ya fahamu na usafirishwaji wa taarifa mbalimbali kutoka kwenye ubongo kwenda sehemu nyingine za mwili yani kiufupi huongeza ufahamu wa mtoto(calcium).
8️⃣Huimarisha mishipa ya damu kutanuka na kusinyaa wakati wa usafirishwaji wa damu
CALL ****-***-***