Kagera F1
TZS 200,000
1 year ago
Dar, Kisutu
Food & Agriculture
New
Negotiable
390
KAGERA F1
»Ni tikiti maji la lialozaa sana
SIFA
»Tikiti maji linalopendwa sana sokoni na tunda lake tamu na lenye rangi nyekundu
»Tikiti lake lina uzito wa kilo 10 - 12
»hukomaa kwa siku 90 toka kupandikizwa
»Hutoa matunda ya umbo la yai yenye rangi ya pundamilia kwenye ganda la nje
»Ina nyuzinyuzi iayoipatia sifa ya kusafirishwa umbali mre na kukaa bila kuharibika
USTAHIMILIVU
Kagera hustahimili magonjwa aina
»Fusarium
»Virus (Ukomavu)
WASTANI KWA HEKA
500gn
60cm x 2.5-3mt
N;B
*Zinafaa kwa wakulima wote wakubwa n wadogo
*Na wale wanaopenda kulima kwa ajili ya mbogamboga za nyumban ni nzuri kwa kuanzia
ZINAPATIKANA KWA KUANZIA GRAM
»25gm.. 50gm.. 100gm.. 250gm.. 500gm
KARIBUN SANA
SASA INAPATIKANA KWA JUMLA NA REJAREJA
KARIBU KWA MAHITAJI YA PEMBEJEO ZA KILIMO NA HUDUMA ZA FARMIGATION
TUNAUZA
♣Sumu za kuua wadudu mashambani na majumbani
♣Sumu za farmigation
♣Dawa za kutibu na kuzuia ukunguu
♣ Mbolea aina zote kwa virutubisho vya mimea
♣Mbegu aina zote & vifaa vya kilimo
♦free delivery kwa dar es salaam
♦Mikoani tunatuma kwa usalama na uhakika